sw_tn/psa/127/003.md

624 B

urithi

"zawadi" au "mali wa dhamani". Watoto kawaida hupokea urithi kutoka kwa wazazi wao. Urithi huenda kutoka kwa wazazi kwenda kwa watoto. Mstari huu unaonesha watoto kama urithi wa wazazi wao.

Kama mishale kwenye mkono wa shujaa, ndivyo walivyo watoto wa ujanani

Mishale ni ya muhimu sana kwa shujaa kwa sababu inamlinda vitani. Watoto wanazungumziwa kana kwamba ni mishale ya shujaa. "Kuwa na watoto wengi kutakulinda"

aliyejaza podo lake nao

Podo ni chombo kwa ajiil ya mishale. Kuwa na watoto wengi kunazungumziwa kana kwamba watoto walikuwa mishale ndani ya podo. "nyumba iliyojaa watoto" au" wato wengi"