sw_tn/psa/119/157.md

20 lines
270 B
Markdown

# Watesi wangu
"Wale wanaonitesa mimi"
# sijageuka
Hii ni lahaja. "Sijaacha kutii" au "Sijaacha kuamini"
# amri za agano
Maana zingine zinazowezekana ni "shuhuda" au "sheria."
# waongo
"watu waongo" au "wale wanaonisaliti" au "adui zangu"
# hawatunzi
"hawatii"