sw_tn/psa/119/157.md

270 B

Watesi wangu

"Wale wanaonitesa mimi"

sijageuka

Hii ni lahaja. "Sijaacha kutii" au "Sijaacha kuamini"

amri za agano

Maana zingine zinazowezekana ni "shuhuda" au "sheria."

waongo

"watu waongo" au "wale wanaonisaliti" au "adui zangu"

hawatunzi

"hawatii"