sw_tn/psa/119/151.md

265 B

amri zako zote ni za uaminifu

"ninaweza kuamini amri zako"

amri za agano

Maana zingine zinazowezekana ni "shuhuda" au "sheria"

umeziandaa

Mwandishi wa zaburi anazungumzia amri za Yahwe kana kwamba ni nguzo zilizopangwa kwenye ardhi. "umewapa watu kutii"