sw_tn/psa/119/135.md

345 B

Acha uso wako ung'ae kwa mtumishi wako

Mwandishi anamzungumzia Yahwe kutenda kwa fadhila kwake kana kwamba uso wa Yahwe ulitoa mwanga juu yake. "Tenda kwa fadhila kwa mtumishi wako"

Mikondo ya machozi

Mwandishi anazungumzia machozi yake mengi kana kwamba ni mkondo wa maji. "Machozi mengi"

hawafuati sheria yako

"hawatii sheria yako"