forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
345 B
Markdown
12 lines
345 B
Markdown
|
# Acha uso wako ung'ae kwa mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamzungumzia Yahwe kutenda kwa fadhila kwake kana kwamba uso wa Yahwe ulitoa mwanga juu yake. "Tenda kwa fadhila kwa mtumishi wako"
|
||
|
|
||
|
# Mikondo ya machozi
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia machozi yake mengi kana kwamba ni mkondo wa maji. "Machozi mengi"
|
||
|
|
||
|
# hawafuati sheria yako
|
||
|
|
||
|
"hawatii sheria yako"
|