sw_tn/psa/119/131.md

382 B

Ninafungua mdomo wangu na kuhema, kwa kuwa nina shauku na amri zako

Mwandishi anazungumzia hamu yake ya amri za Yahwe kana kwamba alikuwa mbwa anayehema kwa ajili ya maji. "nina shauku ya kweli na amri zako"

Nigeukie

Kumgeukia mtu inamaanisha kuvuta nadhari kwa mtu huyo. "Nizingatie"

wanaolipenda jina lako

Hapa neno "jina" linamwakilisha yahwe mwenyewe. "wanaokupenda"