sw_tn/psa/119/083.md

525 B

Nime kuwa kama kiriba katika moshi

Kiriba huaharibika kinaponing'inizwa muda mrefu kwenye sehemu ya moshi. Mwandishi anajifananisha na kiriba kilichoharibiwa na moshi kusisitiza kuwa anajihisi hana faida.

Hadi lini mtumishi wako avumilie hili, utawahukumu lini wale wanaonitesa?

Mwandishi anatumia swali kumwomba Mungu kuwaadhibu wale wanaomtesa. "Tafadhali usinifanye nisubiri zaidi. Waadhibu wale wanaonitesa."

mtumishi wako

Mwandishi analjielezea kama "mtumishi wako." "lazima ni, mtumishi wako" au "lazima ni"