forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
525 B
Markdown
12 lines
525 B
Markdown
|
# Nime kuwa kama kiriba katika moshi
|
||
|
|
||
|
Kiriba huaharibika kinaponing'inizwa muda mrefu kwenye sehemu ya moshi. Mwandishi anajifananisha na kiriba kilichoharibiwa na moshi kusisitiza kuwa anajihisi hana faida.
|
||
|
|
||
|
# Hadi lini mtumishi wako avumilie hili, utawahukumu lini wale wanaonitesa?
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anatumia swali kumwomba Mungu kuwaadhibu wale wanaomtesa. "Tafadhali usinifanye nisubiri zaidi. Waadhibu wale wanaonitesa."
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Mwandishi analjielezea kama "mtumishi wako." "lazima ni, mtumishi wako" au "lazima ni"
|