nitawekwa thabiti
Mwandishi anazungumzia kuimarishwa katika amri za Mungu kana kwamba hakuna mtu anayeweza kumsogeza kimwili.
kuangalia sheria zako
"katika kutii sheria zako"
sitaaibishwa
Mwandishi hataki kuaibishwa akiwa katika uwepo wa Mungu.
amri zako zote
"yote uliyo tuamuru"