forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
432 B
Markdown
20 lines
432 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Mtu aliyetunga zaburi hii anaendelea kuzungumza.
|
|
|
|
# katika nchi ya walio hai
|
|
|
|
"kwenye dunia hii ambapo watu wako hai." Hii ni tofauti na sehemu ya wafu.
|
|
|
|
# Nimeumizwa sana
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Ninahangaika sana" au "Watu wananiumiza sana"
|
|
|
|
# Nikasema haraka
|
|
|
|
"Nikasema haraka sana" au "Nikasema bila kutafakari"
|
|
|
|
# Wanaume wote ni waongo
|
|
|
|
"Kila mtu ni muongo" au "Watu wote ni waongo"
|