sw_tn/psa/115/009.md

457 B

Israeli, mtumainini Yahwe

Neno "Israeli" linaashiria watu wa Israeli. "watu wa Israeli, mtumainini Yahwe"

msaada wenu na ngao

Mwandishi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni ngao kwa sababu anawalinda watu wake kama ngao inavyowalinda kutokana na madhara. "yule ambaye anawasaidia na kuwalinda"

Nyumba ya Haruni

Hapa neno "nyumba" linamaanisha familia au uzao. Msemo huu unamaanisha makuhani, walikuwa uzao wa Haruni. "Uzao wa Haruni" au "Makuhani"