sw_tn/psa/112/006.md

424 B

Taarifa ya Jumla:

Mtu anayeimba wimbo huu anaendelea kumwelezea mtu anaye mheshimu sana Yahwe.

Kwa kuwa hatasogezwa

hatasumbuliwa au kuzidiwa kwa hali yoyote kwa kuwa imani yake iko katika Yahwe. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa kuwa hakuna kitu kitakachomsogeza"

kwa kuwa mtu mwenye haki atakumbukwa milele

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu watamkumbuka mtu mwenye haki milele"