forked from WA-Catalog/sw_tn
331 B
331 B
Wewe ni
Yahwe anazungumza na bwana.
hautabadilika
Hii inamaanisha kwamba hatabadili alichosema. "hatabadili mawazo yake" au "hatabadili alichosema"
baada ya mfano wa Melkizedeki
Maneno yasiyokowepo yanaweza kuongezwa. "baada ya mfano alivyokuwa kuhani Melkizedeki" au "katika njia ile ile alivyokuwa kuhani Melkizedeki"