sw_tn/psa/110/004.md

331 B

Wewe ni

Yahwe anazungumza na bwana.

hautabadilika

Hii inamaanisha kwamba hatabadili alichosema. "hatabadili mawazo yake" au "hatabadili alichosema"

baada ya mfano wa Melkizedeki

Maneno yasiyokowepo yanaweza kuongezwa. "baada ya mfano alivyokuwa kuhani Melkizedeki" au "katika njia ile ile alivyokuwa kuhani Melkizedeki"