sw_tn/psa/107/036.md

515 B

Anawatuliza walio na njaa huko

Hapa neno "huko" linamaanisha sehemu ambazo Yahwe alifanya chechemi na maziwa kutokea. Pia msemo "walio na njaa" inamaanisha watu walio na njaa. "Yahwe anafanya watu walio na njaa kuishi huko"

kupanda mashamba ya mizabibu

"ya kupandia mizabibu"

na kuleta mavuno tele

"ili walete mavuno tele"

kwa hiyo wanakuwa wengi sana

"ili watu wao wawe wengi sana"

Haachi ng'ombe wake wapungue idadi

Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "Huweka ng'ombe wao kuwa wengi sana"