sw_tn/psa/106/016.md

698 B

Katika kambi

Hii ina maana ya kambi ya Waisraeli katika nyika. "Katika kambi nyikani"

Dunia ilifunguka na kummeza

Hapa jinsi ardhi inavyofunguka na kuwazika watu inalinganishwa kwa jinsi kiumbe kinavyomeza kitu. "Dunia ilifunguka na kuzika"

Dathani

Huyu alikuwa afisa aliyeasi thidi ya Musa.

na kuwafunika wafuasi wa Abiramu

Wafuasi wa Abiramu walizikwa pia dunia ilipofunguka na kumzika Dathani. "pia ikafunuka wafuasi wa Abiramu" au "na pia ikazika wafuasi wa Abiramu"

Abiramu

Huyu alikuwa afisa aliyeasi dhidi Musa.

Moto ukaanza miongoni mwao; moto ukawateketeza waovu

Misemo hii miwili ina maana kimoja na inaandikwa pamoja kusisitiza jinsi watu waovu waliuawa kwa moto.