sw_tn/psa/106/003.md

735 B

Niite akilini

Msemo "kuita akilini" ina maana ya kukumbuka jambo. "nikumbuke"

ya chaguo lako

Neno "aliyechaguliwa" ina maana ya watu waliochaguliwa wa Yahwe. "wa watu waliochaguliwa"

nitashangilia katika furaha ... na nitakuwa na utukufu

Haya ni mambo ambayo Daudi anasema atafanya, pamoja na "kuona mafanikio ya waliochaguliwa wako". Maneno ambayo hayaonekani yanaweza kuongezwa. "Nitashangilia katika furaha ... na nitakuwa na utukufu"

furaha

"furaha" au "shangwe"

utukufu na urithi wako

Hapa msemo "urithi wako" ina maana ya Waisraeli, ambao ni watu wa Yahwe waliochaguliwa. Hapa "utukufu" ina maana ya "kujivunia" juu ya kitu; katika hali hii wanajivunia juu ya Yahwe. "kujivunia katika ukuu wako na watu wako"