sw_tn/psa/094/005.md

20 lines
440 B
Markdown

# wanalitesa taifa
Hapa "taifa" linamaanisha watu wa hilo taifa. "wanawatesa watu wa taifa"
# Wanawaponda
Mwandishi anawazungumzia watu wenye uwezo kuwatenda vibaya watu wanyonge kana kwamba ilikuwa kuwaponda au kuwabomoa katika vipande. "Wanawaangamiza kabisa" au "Wanawadhuru sana."
# mjane
"wanawake ambao waume zao wamekufa"
# wasio na baba
"watoto bila baba"
# Mungu wa Yakobo hagundui
"Mungu wa Israeli haoni tunachokifanya"