forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
440 B
Markdown
20 lines
440 B
Markdown
# wanalitesa taifa
|
|
|
|
Hapa "taifa" linamaanisha watu wa hilo taifa. "wanawatesa watu wa taifa"
|
|
|
|
# Wanawaponda
|
|
|
|
Mwandishi anawazungumzia watu wenye uwezo kuwatenda vibaya watu wanyonge kana kwamba ilikuwa kuwaponda au kuwabomoa katika vipande. "Wanawaangamiza kabisa" au "Wanawadhuru sana."
|
|
|
|
# mjane
|
|
|
|
"wanawake ambao waume zao wamekufa"
|
|
|
|
# wasio na baba
|
|
|
|
"watoto bila baba"
|
|
|
|
# Mungu wa Yakobo hagundui
|
|
|
|
"Mungu wa Israeli haoni tunachokifanya"
|