sw_tn/psa/094/005.md

440 B

wanalitesa taifa

Hapa "taifa" linamaanisha watu wa hilo taifa. "wanawatesa watu wa taifa"

Wanawaponda

Mwandishi anawazungumzia watu wenye uwezo kuwatenda vibaya watu wanyonge kana kwamba ilikuwa kuwaponda au kuwabomoa katika vipande. "Wanawaangamiza kabisa" au "Wanawadhuru sana."

mjane

"wanawake ambao waume zao wamekufa"

wasio na baba

"watoto bila baba"

Mungu wa Yakobo hagundui

"Mungu wa Israeli haoni tunachokifanya"