forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
541 B
Markdown
12 lines
541 B
Markdown
# tumemezwa katika hasira yako
|
|
|
|
Mungu kuwaangamiza watu katika hasira yake inazungumziwa kana kwamba hasira ya Mungu ni moto unaowaunguza kabisa watu. "Unatuangamiza katika hasira yako"
|
|
|
|
# na katika gadhabuyako tunaogopa
|
|
|
|
"na unapokasirika tunaogopa sana"
|
|
|
|
# Umeweka udhalimu wetumbele zako, dhambi zetu zilizofichwa katika nuru ya uwepo wako
|
|
|
|
Mungu kuzingatia dhambi za watu inazungumziwa kana kwamba dhambi ni vitu anavyoweza kuweka mbele yake na kuzitazama. "Unaona kila kitu kiovu tunachofanya, hata vitu vya dhambi tunavyofanya sirini"
|