forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
748 B
Markdown
20 lines
748 B
Markdown
# Yamenizunguka kama maji siku nzima
|
|
|
|
Mwandishi anafananisha m"matendo ya hasira" ya Mungu na "matendo ya kutisha" na mafuriko ya maji. "Siku nzima wananitisha kuniangamiza kama mafuriko"
|
|
|
|
# Yamenizunguka
|
|
|
|
Kinachozungumziwa ni "matendo ya hasira" ya Mungu na "matendo ya kutisha" kutoka katika mstari uliopita.
|
|
|
|
# yamenizunguka yote
|
|
|
|
Mwandishianazungumzia "matendo ya hasira" na "matendo ya kutisha" kana kwamba ni adui waliokuwa wakijaribu kumshika na kumuua. "wamenizunguka kama askari adui"
|
|
|
|
# kila rafiki na anaye nijua
|
|
|
|
"kila mtu ninayempenda na kumjua"
|
|
|
|
# Anijuae pekee ni giza
|
|
|
|
Hii inazungumzia giza kana kwamba ni mtu ambaye anaweza kuwa rafiki na mtu mwingine. Mwandishi anasisitiza kuwa anajihisi upweke. "Kila sehemu ninayoenda ni giza"
|