sw_tn/psa/088/015.md

498 B

Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu

Hii inamzungumzia Mungu kumwadhibu mwandishi kana kwamba matendo ya Mungu ni wimbi kubwa linaloinuka kutoka baharini na kumwangukia na kumkandamiza mwandishi. "ni kana kwamba matendo yako ya hasira yananikandamiza"

matendo yako ya kutisha yameniangamiza

Hii inazungumzia Mungu kumwadhibu mwandishi kana kwamba Mungu alimwangamiza kabisa mwandishi. "vitu vya kutishi unavyofanya vimeniangamiza" au "vitu vya kustisha unavyofanya kidogo viniangamize"