forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
498 B
Markdown
8 lines
498 B
Markdown
|
# Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu
|
||
|
|
||
|
Hii inamzungumzia Mungu kumwadhibu mwandishi kana kwamba matendo ya Mungu ni wimbi kubwa linaloinuka kutoka baharini na kumwangukia na kumkandamiza mwandishi. "ni kana kwamba matendo yako ya hasira yananikandamiza"
|
||
|
|
||
|
# matendo yako ya kutisha yameniangamiza
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia Mungu kumwadhibu mwandishi kana kwamba Mungu alimwangamiza kabisa mwandishi. "vitu vya kutishi unavyofanya vimeniangamiza" au "vitu vya kustisha unavyofanya kidogo viniangamize"
|