forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
375 B
Markdown
12 lines
375 B
Markdown
# wanaonifahamu
|
|
|
|
"wale wanaonijua"
|
|
|
|
# Umenifanya kitu cha kushangaza kwao
|
|
|
|
"Umenifanya kitu cha kuchukiza machoni kwao" au "Kwa sababu yako, wanashangaa wanaponiona"
|
|
|
|
# Nimezungukwa
|
|
|
|
Hali ya kimwili ya mwandishi inayomfanya kuwa chukizo kwa rafiki zake inazungumziwa kana kwamba alikuwa amefungwa katika nafasi yenye mipaka. "Ni kana kwamba nilikuwa gerezani" au "Nimenaswa"
|