sw_tn/psa/088/005.md

917 B

Nimeachwa miongoni mwa wafu

Watu kumfanyia mwandishi kana kwamba tayari amekufa inazungumziwa kana kwamba ni maiti ambayo imeachwa bila kuzikwa. "Nimeachwa peke yangu kana kwamba nimekufa"

mimi ni kama mfu niliyelala kaburini

Mwandishi kuhisi kana kwamba watu na Mungu wamemwacha anajizungumzia kana kwamba alikuwa tayari ni mtu aliyekufa amelala kaburini.

mfu niliyelala

"mtu aliyekufa mabaye amelala" au "watu waliokufa ambao wamelala"

ambao huwajali tena

"watu ambao umeacha kuwajali"

wamekatwa kutoka katika nguvu yako

Mungu kuacha kutumia nguvu yake kuwasaidia wafu inazungumziwa kana kwamba Mungu amemkata au amemtoa kutoka kwenye nguvu yake. "hautumii tena nguvu yako kuwaokoa"

Umeniweka katika sehemu ya chini zaidi ya shimo, katika vina vya china vyenye giza

Mwandishi kuhisi kama Mungu kumwacha anajizungumzia kana kwamba Mungu amemweka katika kaburi kina kirefu zaidi na lenye giza.