sw_tn/psa/086/015.md

501 B

umejaa uaminifu wa agano na uaminifu

Mungu kuwa mwaminifu kila wakati inazungumziwa kana kwamba uaminifu ni kitu ambacho Mungu ana kiasi kikubwa chake.

Geuka kwangu

Kumwomba Mung kumzingatia inazungumziwa kana kwamba alimtaka Mungu amgeukie na kumwangalia.

mpe mtumishi wako nguvu yako

"mwimarishe mtumishi wako" au "mfanye mtumishi wako kuwa imara"

mtumishi wako ... mwana wa mjakazi wako

Mwandishi anajizungumzia mwenyewe katika hali ya mtu wa tatu.

na kuaibishwa

"na wataaibika"