sw_tn/psa/085/012.md

272 B

Haki itamtangulia na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake

Mungu kufanya kilicho sawa kila sehemu aendayo inazungumziwa kana kwamba haki ni mtu ambaye humtangulia Mungu na kuandaa njia ya Mungu kupitia.

hatua zake

Hapa "hatua" inawakilisha ambapo Mungu anapita.