sw_tn/psa/083/016.md

587 B

Jaza nyuso zao na aibu

Hapa "nyuso"zinawakilishwa mtu mzima. "Wafanye waaibike sana"

watafute jina lako

Hapa "jina" linawakilisha uwezo wa Mungu. Adui wa Mungu kukiri kuwa Mungu ana uwezo inazungumziwa kana kwamba wanatafuta kumpata yahwe. "wakubali kuwa una uwezo"

watafute jina lako

Maana zinazowezekana ni 1) adui wa Mungu wanakiri kuwa Mungu ana uwezo au 2) adui wa mungu wanamwomba Mungu msaada au 3) adui wa Mungu wanaanza kumwabudu na kumtii.

Na waaibishwe na kuogofywa milele

"Wafanye waaibike na kuogopa milele"

waangamie kwa aibu

"na wafe wakiwa wameaibika"