forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
587 B
Markdown
20 lines
587 B
Markdown
|
# Jaza nyuso zao na aibu
|
||
|
|
||
|
Hapa "nyuso"zinawakilishwa mtu mzima. "Wafanye waaibike sana"
|
||
|
|
||
|
# watafute jina lako
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" linawakilisha uwezo wa Mungu. Adui wa Mungu kukiri kuwa Mungu ana uwezo inazungumziwa kana kwamba wanatafuta kumpata yahwe. "wakubali kuwa una uwezo"
|
||
|
|
||
|
# watafute jina lako
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) adui wa Mungu wanakiri kuwa Mungu ana uwezo au 2) adui wa mungu wanamwomba Mungu msaada au 3) adui wa Mungu wanaanza kumwabudu na kumtii.
|
||
|
|
||
|
# Na waaibishwe na kuogofywa milele
|
||
|
|
||
|
"Wafanye waaibike na kuogopa milele"
|
||
|
|
||
|
# waangamie kwa aibu
|
||
|
|
||
|
"na wafe wakiwa wameaibika"
|