sw_tn/psa/081/015.md

703 B

wanaomchukia Yahwe ... mbele zake

Yahwe anajizungumzia mwenyewe katika hali ya mtu wa tatu. ""wanaonichukia ... mbele yangu"

wajikunyate kwa hofu

"inama chini kwa hofu" au "anguka chini kwa hofu"

Na waaibishwe milele

"Nitawaaibisha milele" au "Nitawaadhibu milele"

Nitawalisha israeli kwa ngano safi

Mungu kusababisha ngano bora zaidi kuota Israeli inazungumziwa kana kwamba angewalisha watu ngano kiuhalisia. "Nitawaruhusu Waisraeli kula ngano bora zaidi"

Nitawalisha Israeli ... nitakuridhisha

Hapa pote wanaozungumziwa ni watu wa Israeli.

asali kutoka kwenye mwamba

Hii inamaanisha asali ya porini. Nyuki hujenga mizinga katika mashimo kwenye miamba na kutengeneza asali humo.