forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
703 B
Markdown
24 lines
703 B
Markdown
|
# wanaomchukia Yahwe ... mbele zake
|
||
|
|
||
|
Yahwe anajizungumzia mwenyewe katika hali ya mtu wa tatu. ""wanaonichukia ... mbele yangu"
|
||
|
|
||
|
# wajikunyate kwa hofu
|
||
|
|
||
|
"inama chini kwa hofu" au "anguka chini kwa hofu"
|
||
|
|
||
|
# Na waaibishwe milele
|
||
|
|
||
|
"Nitawaaibisha milele" au "Nitawaadhibu milele"
|
||
|
|
||
|
# Nitawalisha israeli kwa ngano safi
|
||
|
|
||
|
Mungu kusababisha ngano bora zaidi kuota Israeli inazungumziwa kana kwamba angewalisha watu ngano kiuhalisia. "Nitawaruhusu Waisraeli kula ngano bora zaidi"
|
||
|
|
||
|
# Nitawalisha Israeli ... nitakuridhisha
|
||
|
|
||
|
Hapa pote wanaozungumziwa ni watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# asali kutoka kwenye mwamba
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha asali ya porini. Nyuki hujenga mizinga katika mashimo kwenye miamba na kutengeneza asali humo.
|