sw_tn/psa/080/014.md

797 B

Taarifa ya Jumla:

Asafu anazungumza kwa niaba ya Israeli. Anaanza katika mstari wa 8 kuzungumzia jinsi Mungu alivyowaweka Israeli katika nchi yao kana kwamba Mungu alikuwa ni mtu anayesafisha ardhi ili kupanda mzabibu.

Geuka

"Geuka kwetu" au "Njoo utusaidie tena"

na ugundue

"na uangalie"

mzabibu huu

Mwandishi anaendelea kufananisha taifa la Israeli na mzabibu.

Huu ni mzizi ambao mono wako wa kuume ulipanda

Mkono wa kuume unawakilisha uwezo na nguvu ya Yahwe. "Huu ndio mzizi ambao wewe, Yahwe, ulipanda"

kichipukizi

sehemu za mimea ambazo zinaanza kutokeza kutoka ardhini

chini; wanaangamia kwa sababu ya lawama yako

Maana zinazowezekana ni 1) chini; watu wako wanaangamia kwa sababu ya lawama yako." au 2) "chini. Na adui zako waangamie kwa sababu ya lawama yako!"