forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
625 B
Markdown
24 lines
625 B
Markdown
# taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya.
|
|
|
|
# kutoka katika mazizi ya kondoo
|
|
|
|
"kutoka mahali ambapo alikuwa akifanya kazi katika mazizi ya kondoo"
|
|
|
|
# mazizi ya kondoo
|
|
|
|
nafasi zenye kuta ambapo kondoo hutunzwa
|
|
|
|
# kuwa mchungaji wa Yakobo, watu wake, na israeli, urithi wake
|
|
|
|
Neno "mchungaji" ni sitiari ya yule anayewaongoza na kuwalinda watu wengine. "kuwaongoza na kuwalinda uzao wa Yakobo, watu wake, na Israeli, urithi wake"
|
|
|
|
# urithi wake
|
|
|
|
"wale aliowachagua kuwa wake milele"
|
|
|
|
# Daudi aliwachunga
|
|
|
|
Neno "mchungaji" ni sitiari ya kuongoza na kulinda. "Daudi aliwaongoza na kuwalinda"
|