forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
554 B
Markdown
24 lines
554 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Aliwatoa watu wake kwa upanga
|
|
|
|
Asafu anawazungumzia watu wa Mungu kana kwamba walikuwa kitu kidogo.
|
|
|
|
# alikasirishwa na urithi wake
|
|
|
|
"alikasirishwa na watu aliosema watakuwa wake milele"
|
|
|
|
# Moto uliwameza vijana
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) "Adui walitumia moto kuwaua vijana wao wote" au 2) "Vijana wao walikufa upesi vitani kama moto unavyochoma majani yaliyokauka."
|
|
|
|
# wameza
|
|
|
|
"Kumeza" ni kula kila kitu haraka.
|
|
|
|
# arusi
|
|
|
|
sherehe wakati watu wakioa
|