sw_tn/psa/078/062.md

554 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli.

Aliwatoa watu wake kwa upanga

Asafu anawazungumzia watu wa Mungu kana kwamba walikuwa kitu kidogo.

alikasirishwa na urithi wake

"alikasirishwa na watu aliosema watakuwa wake milele"

Moto uliwameza vijana

Maana zinazowezekana ni 1) "Adui walitumia moto kuwaua vijana wao wote" au 2) "Vijana wao walikufa upesi vitani kama moto unavyochoma majani yaliyokauka."

wameza

"Kumeza" ni kula kila kitu haraka.

arusi

sherehe wakati watu wakioa