sw_tn/psa/078/047.md

905 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alichofanya kwa Wamisri.

mkuyu

mti unaotoa matunda

miale ya radi

radi yenye ngurumo kubwa

Alinyeshea mvua ya mawe

"Alileta mvua ya mawe" au "Alisababisha mvua ya mawe kuanguka"

Ukali wa hasira yake uliwapiga

Asafu anazungumzia ukali kana kwamba ni mtu anayeweza kumvamia mtu mwingine. "Alikuwa na hasira nao, kwa hiyo aliwashambulia ghafla na kwa ukali"

Ukali wa hasira yake

"Hasira yake kali"

uliwapiga

"aliwavamia wakati hawakuwa wakitegemea chochote kutokea"

Alituma hasira, gadhabu, na taabu kama wakala wanaoleta maafa

Asafu anazungumzia hasira, gadhabu, na taabu kana kwamba ni watu ambao Mungu anaweza kuwatuma kufanya kazi yake. Alikuwa na hasira sana hadi alitaka kuwadhuru Wamisri, kwa hiyo aliwafanyia taabu na kuwapeleka katika maafa"

gadhabu

hasira inayomfanya mtu kutaka kuwadhuru wengine