sw_tn/psa/078/035.md

577 B

Taarifa ya Jumla:

Hii inaelezea kile ambacho Waisraeli walichofanya.

ita akilini

"kumbuka"

Mungu alikuwa mwamba wao

Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba alikuwa kilima au mlima ambapo watu walienda ili kuwa salama kutoka kwa adui zao. "Mungu ndiye aliyewalinda"

mkombozi wao

"yule aliyewakomboa"

walijipendekeza kwake

"walimwambia kuwa ni wa ajabu wakati hawakuamini hivyo"

kwa midomo yao

Neno "mdomo" ni njia nyingine ya kusema maneno waliyozungumza kwa midomo yao.

mioyo yao haikuwa thabiti kwake

"hawakumtumaini" au "hawakuwa waminifu kwake"