forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
577 B
Markdown
28 lines
577 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea kile ambacho Waisraeli walichofanya.
|
||
|
|
||
|
# ita akilini
|
||
|
|
||
|
"kumbuka"
|
||
|
|
||
|
# Mungu alikuwa mwamba wao
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba alikuwa kilima au mlima ambapo watu walienda ili kuwa salama kutoka kwa adui zao. "Mungu ndiye aliyewalinda"
|
||
|
|
||
|
# mkombozi wao
|
||
|
|
||
|
"yule aliyewakomboa"
|
||
|
|
||
|
# walijipendekeza kwake
|
||
|
|
||
|
"walimwambia kuwa ni wa ajabu wakati hawakuamini hivyo"
|
||
|
|
||
|
# kwa midomo yao
|
||
|
|
||
|
Neno "mdomo" ni njia nyingine ya kusema maneno waliyozungumza kwa midomo yao.
|
||
|
|
||
|
# mioyo yao haikuwa thabiti kwake
|
||
|
|
||
|
"hawakumtumaini" au "hawakuwa waminifu kwake"
|