forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
647 B
Markdown
28 lines
647 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Mwandishi anaendelea kueleza kile ambacho Mungu alitenda kwa Waisraeli.
|
|
|
|
# alipunguza siku zao kuwa fupi
|
|
|
|
"aliwaua wakati bado wako wachanga"
|
|
|
|
# miaka yao ilijaa na hofu
|
|
|
|
Asafu anazungumzia miaka kana kwamba ilikuwa ni vyombo. "mwaka baada ya mwaka walikuwa wakiogopa kila wakati"
|
|
|
|
# kumtafuta
|
|
|
|
kumwomba walichohitaji afanye ili awalinde
|
|
|
|
# alipowaumiza, walianza ... walirudi na kumtafuta
|
|
|
|
Hawa ni watu tofauti ambao Mungu "alipunguza siku zao". Baadhi yao walipokufa, wengine walianza "kumtafuta" Mungu.
|
|
|
|
# walirudi
|
|
|
|
"walitubu" au "walijuta kweli kwa sababu ya dhambi zao"
|
|
|
|
# kwa bidii
|
|
|
|
"kwa haraka" au "kadri ya uwezo wao"
|