sw_tn/psa/078/031.md

355 B

Kisha

wakati chakula kilikuwa bado midomoni mwao (78:29)

hasira ya Mungu ikawashambulia

"Mungu alikuwa na hasira na akawashambulia."

akawaleta chini

"akawaua"

hawakuamini matendo yake ya ajabu

Neno "matendo" ni njia nyingine ya kusema Mungu, ambaye alifanya hayo matendo. "hawakuamini kuwa atawatunza licha ya kufanya mambo ya ajabu hivyo"