sw_tn/psa/078/003.md

203 B

Taarifa ya Jumla:

Mstari wa 3 unaendeleza sentensi ya mstari wa 2.

Hatutawatenga na uzao wao

"Hakika tutawaambia uzao wetu kuyahusu"

matendo ya kusifu ya Yahwe

"vitu ambavyo tunamsifia Yahwe"