forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
611 B
Markdown
20 lines
611 B
Markdown
# nilinyosha mikono yangu
|
|
|
|
"niliomba na mikono yangu ikiwa imenyoshwa"
|
|
|
|
# Nafsi yangu ilikataa kufarijiwa
|
|
|
|
"Nafsi" ni njia nyingine ya kusema mtu. "Sikumruhusu yeyote kujaribu kunifariji"
|
|
|
|
# Nilimuwaza Mungu na nikagumia; Nilimuwaza huku nikiishiwa nguvu
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina maana za kufanana na inaunganishwa kwa ajili ya mkazo.
|
|
|
|
# huku nikiishiwa nguvu
|
|
|
|
"wakati nafsi yangu ikiishiwa nguvu" au "wakati nafsi yangu ilipolemewa"
|
|
|
|
# Sela
|
|
|
|
Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.
|