sw_tn/psa/076/004.md

618 B

Taarifa ya Jumla:

Asafu anamzungumzia Mungu kana kwamba Mungu alikuwa askari anayerudi kutoka katika mlima baada ya kushinda vita vikuu.

Unang'aa kwa nguvu na kuonesha utukufu wako

Mseno wa pili unaimarisha ule msemo wa kwanza ya kwamba utukufu wa Yahwe inaonesha Yahwe kung'aa kwa nguvu.

Unang'aa kwa nguvu

Maneno "unang'aa kwa nguvu" ni sitiari kwa ajili ya kuwa mkuu. "Unaonesha jinsi ulivyo mkuu"

wenye mioyo ya ujasiri walitekwa

"Watu wako waliwaua askari shupavu wa adui zao na kuchukua mali zao zote"

walisinzia

Hapa "walisinzia" ni tasifida ya kufa. "walikufa' au "walianguka chini na kufa"