forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
618 B
Markdown
20 lines
618 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Asafu anamzungumzia Mungu kana kwamba Mungu alikuwa askari anayerudi kutoka katika mlima baada ya kushinda vita vikuu.
|
||
|
|
||
|
# Unang'aa kwa nguvu na kuonesha utukufu wako
|
||
|
|
||
|
Mseno wa pili unaimarisha ule msemo wa kwanza ya kwamba utukufu wa Yahwe inaonesha Yahwe kung'aa kwa nguvu.
|
||
|
|
||
|
# Unang'aa kwa nguvu
|
||
|
|
||
|
Maneno "unang'aa kwa nguvu" ni sitiari kwa ajili ya kuwa mkuu. "Unaonesha jinsi ulivyo mkuu"
|
||
|
|
||
|
# wenye mioyo ya ujasiri walitekwa
|
||
|
|
||
|
"Watu wako waliwaua askari shupavu wa adui zao na kuchukua mali zao zote"
|
||
|
|
||
|
# walisinzia
|
||
|
|
||
|
Hapa "walisinzia" ni tasifida ya kufa. "walikufa' au "walianguka chini na kufa"
|