forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
285 B
Markdown
12 lines
285 B
Markdown
# Anasema
|
|
|
|
Mungu anasema
|
|
|
|
# nitakata pembe zote za
|
|
|
|
Pembe za mnyama ni sitiari ya nguvu ya mtu. "ondoa nguvu yote kutoka kwa"
|
|
|
|
# pembe za mwenye haki zitainuliwa juu
|
|
|
|
Pembe za mnyama ni sitiari ya nguvu ya mtu. "nitainua pembe za mwenye haki" au "nitamfanya mwenye haki kuwa na nguvu"
|