sw_tn/psa/075/009.md

285 B

Anasema

Mungu anasema

nitakata pembe zote za

Pembe za mnyama ni sitiari ya nguvu ya mtu. "ondoa nguvu yote kutoka kwa"

pembe za mwenye haki zitainuliwa juu

Pembe za mnyama ni sitiari ya nguvu ya mtu. "nitainua pembe za mwenye haki" au "nitamfanya mwenye haki kuwa na nguvu"