sw_tn/psa/075/007.md

787 B

Taarifa ya Jumla:

Asafu anamzungumzia Mungu.

huleta chini na huinua juu

"huwashusha watu wengine na kuwainua watu wengine." Maneno "huleta chini" na "huinua juu" ni sitiari ya Mungu kuwapa nguvu watu na kuchukua nguvu yao. "humfanya mtu mmoja mfalme katika nafasi ya mwingine" au "huondoa nguvu ya mtu mmoja na kumpa nguvu mtu mwingine"

kikombe cha divai ya povu ... imechanganywa na vikolezo

Yahwe anapowaadhibu watu watakuwa kama watu waliokunywa divai kali na kuugua.

divai ya povu

Povu ni sitiari ya nguvu ya divai kuwafanya watu walewe. "divai kali"

vikolezo

majani yaliyo kaushwa au mbegu za ardhini

kuimwaga nje

kuimwaga kutoka kwenye chombo kikubwa hadi kwenye vikombe ambavyo watu watatumia kunywa

watainya hadi tone la mwisho

"kunywa kila tone lake"