forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
812 B
Markdown
24 lines
812 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Asafu anaendela kuomboleza kwa Yahwe.
|
|
|
|
# sehemu zenye giza za nchi zimejaa sehemu za vurugu
|
|
|
|
Asafu anazungumzia "sehemu" kana kwamba ni chombo ambamo mtu anaweza kuweka "sehemu za vurugu." "watu wenye vurugu wanafanya matendo maovu katika sehemu za giza nchini pale wanapoweza"
|
|
|
|
# sehemu zenye giza za nchi
|
|
|
|
Neno "giza" linaweza kuwa ni sitiari ya sehemu ambapo mambo mabaya yanatokea au nchi ambazo Waisraeli walipelekwa katika uhamisho.
|
|
|
|
# Usiwaache walio kandamizwa warudi na aibu
|
|
|
|
"Usiwaache watu waovu wawashinde walio kandamizwa na kuwaaibisha"
|
|
|
|
# walio kandamizwa
|
|
|
|
Hawa ni watu wanaotendewa ukatili na watu wenye nguvu.
|
|
|
|
# maskini na walio kandamizwa
|
|
|
|
Maneno "maskini" na "walio kandamizwa" yanamaanisha kitu kimoja na yanasisitiza kuwa Yahwe anawaokoa wengi wanaohitaji msaada wake.
|