forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
680 B
Markdown
20 lines
680 B
Markdown
# Taarifa ya Ujumla:
|
|
|
|
Asafu anaendela kueleza ambavyo wakati mwingine anataka kulalamika kwa Mungu kuhusu wale ambao wana "kiburi" na "waovu".
|
|
|
|
# Hudhihaki
|
|
|
|
Yule ambaye wanamdhihaki inaweza kuelezwa vizuri. "Wanamdhihaki Mungu na watu wake"
|
|
|
|
# Wanaweka mdomo wao dhidi ya mbingu
|
|
|
|
Hapa neno "mbingu" ni njia nyingine ya kusema Mungu, ambaye anaishi mbinguni. "wanazungumza dhidi ya Mungu aliye mbinguni"
|
|
|
|
# Wanaweka mdomo wao
|
|
|
|
"kuzungumza vikali" au "kuzungumza na kusudi"
|
|
|
|
# ulimi wao unatembea duniani
|
|
|
|
Neno "ulimi" ni njia nyingine ya kusema watu wenyewe. Maana zinazowezekana ni 1) "wanaenda duniani wakisema mambo mabaya kumhusu Mungu" au "wanaenda kila mahali na kujisifia."
|