sw_tn/psa/073/008.md

680 B

Taarifa ya Ujumla:

Asafu anaendela kueleza ambavyo wakati mwingine anataka kulalamika kwa Mungu kuhusu wale ambao wana "kiburi" na "waovu".

Hudhihaki

Yule ambaye wanamdhihaki inaweza kuelezwa vizuri. "Wanamdhihaki Mungu na watu wake"

Wanaweka mdomo wao dhidi ya mbingu

Hapa neno "mbingu" ni njia nyingine ya kusema Mungu, ambaye anaishi mbinguni. "wanazungumza dhidi ya Mungu aliye mbinguni"

Wanaweka mdomo wao

"kuzungumza vikali" au "kuzungumza na kusudi"

ulimi wao unatembea duniani

Neno "ulimi" ni njia nyingine ya kusema watu wenyewe. Maana zinazowezekana ni 1) "wanaenda duniani wakisema mambo mabaya kumhusu Mungu" au "wanaenda kila mahali na kujisifia."